Kwa 3g nina 300000 na ingine 500000 reach me 0754-415306 or 0787-415306
Thanks:love:
nenda sapna wanazo au kkoo wanazo kwa bei hyo na chenji inarudi alafu uchomoki imezidi org kwa vionjo mpaka line 3
Una bei gani?iphone 4 si chini ya dola 1000
kwani hizi simu haziuzwi madukani tz? au bei ghali?
Mimi ninayo I PHONE 3 bei ni 1,200,000
NIlitumiwa toka Marekani hata sijaitumia ni Mpya kabisa
Kuwa Makini kuna za China zinauzwa 500,000 hado 400,000
NI PM KAMA UNATAKA SINA LONGOLONGO
IPHONE 4 PALE SAPNA NI 1,800,000 MPAKA 1,700,000 NENDA UTAONA BEI YAKE
Natafuta simu IPHONE ya kununua yeyeto mwenye nayo tuwasiliane ikipatikana IPHONE-4 itapendeza zaidi:fish:
Nachukia vitu used a.k.a mitumbavp mkuu umeshapata simu, kama hujapata weka wazi unahitaji mpya au hata used?