Mbilimbili
Senior Member
- Mar 17, 2012
- 172
- 19
Za asubuhi wadau, kwa mwenye sim niliyoitaja hapo juu naomba anipe uzuri wake. Nataka kuinunua, pia kwa hapa Moshi nitaipata kwa shilingi ngapi.
maduka ya moshi hamna kaka? Mpaka uweke 3ed hapa? Basi panda basi njo mtaa wa agrey
Pale Breakpoint Kijitonyama kunajamaa anaziuza TZS 150,000.......very simple phone
sasa msaada gani unataka ukiambiwa utume pesa utaenda chukua ngolika unaweza?sijakwenda dukani kucheki, ndio maana nikauliza hapa!
Hii hapa
sasa msaada gani unataka ukiambiwa utume pesa utaenda chukua ngolika unaweza?
its over!
Mtambuzi anayo amenunua juzi juzi baada ya kuisahau simu yake
kaunta huko mwenge.
jaribu ku-pm atakupa bei ya sasa hivi.
mama na wewe.... si ungesema tu nimenunua juzi....... sasa hayo mengine yametoka wapi...!Mtambuzi anayo amenunua juzi juzi baada ya kuisahau simu yake
kaunta huko mwenge.
jaribu ku-pm atakupa bei ya sasa hivi.
Mbona kama kuna watu wanataka kuadvertise bidhaa zao humu ndani,
mama na wewe.... si ungesema tu nimenunua juzi....... sasa hayo mengine yametoka wapi...!
Una nongwa wewe......................LOL
Mimi nilinunua Nokia Asha 200 pale makao makuu ya Airtel Mororco
ok, kwa Moshi itakuwa kwenye 170,000 nadhani.
Huyo wa K'nyama breakpoint 2nampataje!?Me pia naitafuta hyo cmu...