Ndugu wana jf nina ndugu yangu(msichana (21)) aliyehitimu kidato cha nne upande wa arts .
Kwenye mtihani wake alipata D 3 na F 4.
Ninachoonba toka kwenu ni ushuri wa kwamba je?
1) anaweza kufanya nini ili aendelee na masomo hasa kwa mtoto wa kikekama yeye?
2) anaweza kusoma kozi gani ambayo akimaliza anaweza kujiajiri/kuajairiwa au kijaendeleza zaidi?
3) kunachuo gani anachoweza kusoma kulingana na sifa zake hasa katika mikoa ya Dar, Arusha au Tanga?
Nina uhakika sana kwamba nitapata ushauri mzuri toka kwenu maana hii ni ndiyo jamii forum.
Natanguliza sukruni zangu kwenu.
Kwenye mtihani wake alipata D 3 na F 4.
Ninachoonba toka kwenu ni ushuri wa kwamba je?
1) anaweza kufanya nini ili aendelee na masomo hasa kwa mtoto wa kikekama yeye?
2) anaweza kusoma kozi gani ambayo akimaliza anaweza kujiajiri/kuajairiwa au kijaendeleza zaidi?
3) kunachuo gani anachoweza kusoma kulingana na sifa zake hasa katika mikoa ya Dar, Arusha au Tanga?
Nina uhakika sana kwamba nitapata ushauri mzuri toka kwenu maana hii ni ndiyo jamii forum.
Natanguliza sukruni zangu kwenu.