Una degree ya nin?
amesema anaelimu ya chuo sio lazima iwe degree
Uzoefu wako huko nyuma!
umeulizwa? au ndio tujue unafahamu sana mambo?
umeulizwa? au ndio tujue unafahamu sana mambo?
Degree ya sociology nimetafuta kazi nmechoka kwakuwa najua naweza fundisha natakaUmesomea Education au umesoma masomo ya kawaida unataka kufundisha?
Lakini mbona walimu wanatakiwa sana mkuu
Mimi ni msichana ninaependa kujituma na ninaelimu ya chuo niko tayari na ninauwezo wa kufundisha masomo ya arts naishi Dar es salaam. pliz msaad ktk hili
Washauri wengi makanjanja
Una degree ya nin?
kwa nini usiombe kazi ya udaktari?Ina maana ualimu kada ya watu walioshindwa kupata ajira katika sekta nyingine!