Zanzibar-ASP
JF-Expert Member
- Nov 28, 2013
- 10,115
- 35,128
Hapana. Hii kitu haijakaa vizuri.
Huko ni kutaka kutaka kumwaribu mtoto wako.
Ushoga, Usengee, usagaji nk huwa unatengenezwa kuanzia utotoni pia. Boarding school mpeleke mtoto anayejitambua na kuweza kujiongoza mwenyewe. Tusikwepe majukumu kwa kisa cha kuwa Busy, ufahari, pesa nk. Tusilazimishe watoto wetu waishi kama watoto Yatima wakati wazazi wao wako hai.
Hivi ni mtoto gani mdogo anayependa na kujisikia furaha akiwa mbali na wazazi wake wazuri anawapenda?
Huko ni kutaka kutaka kumwaribu mtoto wako.
Ushoga, Usengee, usagaji nk huwa unatengenezwa kuanzia utotoni pia. Boarding school mpeleke mtoto anayejitambua na kuweza kujiongoza mwenyewe. Tusikwepe majukumu kwa kisa cha kuwa Busy, ufahari, pesa nk. Tusilazimishe watoto wetu waishi kama watoto Yatima wakati wazazi wao wako hai.
Hivi ni mtoto gani mdogo anayependa na kujisikia furaha akiwa mbali na wazazi wake wazuri anawapenda?