Natafuta shughuli za kufanya kwa trekta baada ya msimu wa kulima

John Deer

Member
Sep 15, 2011
36
9
Ninafikiria kuleta trekta langu dar baada ya msimu wa kulima mwezi wa pili.Ningeomba msaada kwa mwenye idea nini naweza fanya hapa dar nkapata kipato wakati nasubiria msimu.
 
Unaweza kuwa creative na kulitumia kubeba maharusi. Utahitaji kibali cha kubeba abiria nadhani ili trafic wasikusumbue...
Ninafikiria kuleta trekta langu dar baada ya msimu wa kulima mwezi wa pili.Ningeomba msaada kwa mwenye idea nini naweza fanya hapa dar nkapata kipato wakati nasubiria msimu.
 
Mkuu hiyo trecta yako ni dizaini gani?

- Ila trecta kama trecta ni multpurpose sema tu sisi tunaelewa kwamba kazi yake ni kulima na kuvuta tela tu.

- TRECTA INAFANYA SHUGHULI NYINGI SANA, KUNA MITAMBO MINGI SANA INAWEZA ENDESHWA KWA KUTUMIA TRCTA.

1. MASHINE YA KUFYEKA MAJANI

2. MASHINE YA KUSAGA/KUKOBOA NAFAKA

3. MASHINE YA KUPUKUCHUA MAHINDI

4. MTAMBO WA KUVUNA MAHINDI NA MITAMBO YA KUVUNA MAZAO MBALIMBALI

- SEMA TU HUWA TUNAUZIWA TRECTA LIKIWA NA JEMBE NA TELA PEKEE, BUT TRECTA INAFANYA KAZI NYINGI SANA PALE KATIKATI YA TAILI MBILI ZA NYUMA KUNA SHAFTI, ILE SHAFTI NI MULTIPURPOSE SANA NA WAMEIWEKA PALE WAKIJUA KWAMBA TRECTA SI KWAMBA IFANYE KAZI ZA KULIMA TU,

UKIWA NA MITAMBO YAKE YOTE ILE NI KAMA KIWANDA, WEWE NI KUWEKA MAFUTA TU
 
Kaka naomba namba yako haraka_nina ekar 100 mpakan mwa Kigoma/Tabora nataka nianze kuzilima mwez March
 
Mkuu hiyo trecta yako ni dizaini gani?

- Ila trecta kama trecta ni multpurpose sema tu sisi tunaelewa kwamba kazi yake ni kulima na kuvuta tela tu.

- TRECTA INAFANYA SHUGHULI NYINGI SANA, KUNA MITAMBO MINGI SANA INAWEZA ENDESHWA KWA KUTUMIA TRCTA.

1. MASHINE YA KUFYEKA MAJANI

2. MASHINE YA KUSAGA/KUKOBOA NAFAKA

3. MASHINE YA KUPUKUCHUA MAHINDI

4. MTAMBO WA KUVUNA MAHINDI NA MITAMBO YA KUVUNA MAZAO MBALIMBALI

- SEMA TU HUWA TUNAUZIWA TRECTA LIKIWA NA JEMBE NA TELA PEKEE, BUT TRECTA INAFANYA KAZI NYINGI SANA PALE KATIKATI YA TAILI MBILI ZA NYUMA KUNA SHAFTI, ILE SHAFTI NI MULTIPURPOSE SANA NA WAMEIWEKA PALE WAKIJUA KWAMBA TRECTA SI KWAMBA IFANYE KAZI ZA KULIMA TU,

UKIWA NA MITAMBO YAKE YOTE ILE NI KAMA KIWANDA, WEWE NI KUWEKA MAFUTA TU

Nashukuru mkuu.
Mashine ni John deer 3050 90 hp...
 
Sioni zaidi ya kulima kama kuna kazi nyingine ya tractor

soma hapa, kwa hisani ya
user-online.png
KOMANDOO

- TRECTA INAFANYA SHUGHULI NYINGI SANA, KUNA MITAMBO MINGI SANA INAWEZA ENDESHWA KWA KUTUMIA TRCTA.

1. MASHINE YA KUFYEKA MAJANI

2. MASHINE YA KUSAGA/KUKOBOA NAFAKA

3. MASHINE YA KUPUKUCHUA MAHINDI

4. MTAMBO WA KUVUNA MAHINDI NA MITAMBO YA KUVUNA MAZAO MBALIMBALI

- SEMA TU HUWA TUNAUZIWA TRECTA LIKIWA NA JEMBE NA TELA PEKEE, BUT TRECTA INAFANYA KAZI NYINGI SANA PALE KATIKATI YA TAILI MBILI ZA NYUMA KUNA SHAFTI, ILE SHAFTI NI MULTIPURPOSE SANA NA WAMEIWEKA PALE WAKIJUA KWAMBA TRECTA SI KWAMBA IFANYE KAZI ZA KULIMA TU,
 
kama trector yako ni 4x4 whell drive huwa nazikodi bila ya jembe ni tractor tupu na hulipa tsh 3million kwa mwezi dereva wako atalala kambini kwangu na kula kwangu mshahara utampatia wewe ukiharibika pancha juu yangu ikisimama zaidi ya masaa 5 hatulipi siku hivi sasa niko likizo nakula bata , kazi itaanza tena feb malipo kila mwezi hakuna advance , servise juu yako , kazi yake ni kuvuta air compessor porini kwasiku nzima inafanya kazi kama masaa 5 kwani kila mita 50 ikitembea tuachimba kisima wakati tukichimba dereva wako amelala na trekta imekaa tuu kwa mawasiliano tel +4796887028
 
kama trector yako ni 4x4 whell drive huwa nazikodi bila ya jembe ni tractor tupu na hulipa tsh 3million kwa mwezi dereva wako atalala kambini kwangu na kula kwangu mshahara utampatia wewe ukiharibika pancha juu yangu ikisimama zaidi ya masaa 5 hatulipi siku hivi sasa niko likizo nakula bata , kazi itaanza tena feb malipo kila mwezi hakuna advance , servise juu yako , kazi yake ni kuvuta air compessor porini kwasiku nzima inafanya kazi kama masaa 5 kwani kila mita 50 ikitembea tuachimba kisima wakati tukichimba dereva wako amelala na trekta imekaa tuu kwa mawasiliano tel +4796887028

Ni 4WD mkuu na tutawasiliana
 
Sioni zaidi ya kulima kama kuna kazi nyingine ya tractor


sema hujui................Tractor lina kazi nyingi sana;

nikiongezea linaweza kuvua na kuyavuta magogo toka bondeni; unawe kufunga mashine ya kupasulia mbao..................kwa uchache!
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom