Lucchese DeCavalcante
JF-Expert Member
- Jan 10, 2009
- 5,471
- 733
- Thread starter
- #21
Be specific and weka link ni zawadi gani?
<br />Be specific and weka link ni zawadi gani?
<br />
<br />
Si wezi kuweka link niko via mobile
Nenda chit chat ..
Wasema wewe.Mi nadhani kupata 'serious' girlfriend inabidi mtafutaji awe serious pia. Na kuwa serious ni pamoja na kutokutafuta girlfriend kwenye mitandao.
Wewe mbona hujaweka wasifu wako? Je una mtarimbo wenye urefu wa inchi ngapi? Umetahiriwa au bado? Wewe ni bikira au used?? Weka data zako hapa upate wa kukufaa!
Dada yangu anazo hizo sifa zote unazozitaka na ni mcha mungu swala tano na mpaka sigida hanayo je anakufaa?Awe mrefu wastani, elimu kuanzia form six, age asiwe zaidi ya 24years, rangi yoyote, asiwe mnene, awe mcha Mungu. Mwenye sifa hizi aniPM tafadhali au anicheck kwa email lushe2010@yahoo.com
Asanteni
Bado bila bila jamani duh mie nina gundu gani au umasikini??
<br />Yaani hata mmoja hajajitokeza aisee
Bado bila bila jamani duh mie nina gundu gani au umasikini??