Asprin
JF-Expert Member
- Mar 8, 2008
- 67,977
- 95,297
Hahahahaha aliyekupa wito na kipaji cha ualimu hakukosea.... LOLhaya huu hapa uozo wake mwingine
https://www.jamiiforums.com/love-co...natafuta-demu-wa-ku-cheat-nae.html?highlight=
so far jina lake halisi ni ANTHONY HAULE na ni mwanafunzi wa chuo kikuu DSM.
jamani hivi sikuhizi Asprin hakunaga ku sup wala kucarry na repeat a year enh!!
manake wallah zingekuwepo asingepata muda wa kufanya haya.
Nimecheka mbaya asee! Hivi vyuo vya siku hizi kuna ku-sup basi? We angalia mpaka watu wenye madivisheni foo wanaingia yunivesite na kutoka na digrii festi klasi!!