meningitis
JF-Expert Member
- Nov 17, 2010
- 8,349
- 4,674
kwa wale wanaoishi tanga,morogoro,dar,arusha naomba ushauri.natafuta hotel ya gharama za wastani(isizidi elfu 50)
Njoo nyumbani kwetu baba kasafiri katoka out na mama wameenda Botswana, mama kasema wanarudi baada baada ya wiki mbili.
kijijini nitaenda wakati wa kumtambulisha huyu binti mrembo!!Nenda kijijini kwenu. . .
Malazi bure, we unatoa pesa ya mboga na mchele tu
alafu unafaidi pamoja na ndugu!
natafuta hotel sio bar.jaribu kusoma vizuri au umezeeka??sisimizi bar -ubungo
Kumbe unatafuta hotel ukavunje amri ya sita?!!!kijijini nitaenda wakati wa kumtambulisha huyu binti mrembo!!
kwa wale wanaoishi tanga,morogoro,dar,arusha naomba ushauri.natafuta hotel ya gharama za wastani(isizidi elfu 50)