Riccristin
JF-Expert Member
- Nov 30, 2011
- 350
- 51
Kwa yeyote ambaye anauza ani-pm
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Samsung galaxy nini?
Simu?If so toleo gani?
Tablet? Nayo toleo gani?
mimi nnayo..kama utaweza kunitafuta kuanzia 15/12 hujasema kiasi gani unachoSamsung galaxy mini s5570
asante nimeshaipata jamani!
kisimu gani na wewe cha wanafunzi hicho..nunua samsung galaxy ll kitu super amoled. ..sio hicho kisambusa hata mkononi hakishikiki
Kama bei yake ingekua inalingana ningekuelewa.Watu wananunua vitu kuendana na mahitaji pia ujazo wa pochi zao na sio ukubwa wa simu.kisimu gani na wewe cha wanafunzi hicho..nunua samsung galaxy ll kitu super amoled. ..sio hicho kisambusa hata mkononi hakishikiki
mkuu kwani simu nzuri inaangaliwa Display yake tu', ingekuwa hivyo basi hata IPhone 4 inayotumia Retina Display inayokupa ~330 PPI Pixel Density kweny kioo chake ingeipiku hiyo Galaxy yako yenye Super Amoled yenye resolution ya ~217 Pixel Per Inch,, mwache jamaa aEnjoy kitu 1GHz processor kwenye Galaxy Tab yake,,,,,,, :eyebrows: :eyebrows:kisimu gani na wewe cha wanafunzi hicho..nunua samsung galaxy ll kitu super amoled. ..sio hicho kisambusa hata mkononi hakishikiki