Parachichi
JF-Expert Member
- Jul 22, 2008
- 510
- 102
Wakuu heshima mbele!ee bwana nilikua nina mpango wa kufungua kiduka cha vifaa vya ujenzi na umeme!sasa nilikua nawazia niwe na ka software simple ka ku manage sales,purchases na stock!ili kuweza kudhibiti vijana wanaouza wasipige bao kubwa manake bao halikwepeki!
Kwa yeyote anayefahamu software ambayo ni nzuri,anijulkishe ntaweza kuipata wapi na ina cost kiasi gani?kwa kuanzia sihitaji complicated software,just simple to use.
Nawasilisha wakuu.
Kwa yeyote anayefahamu software ambayo ni nzuri,anijulkishe ntaweza kuipata wapi na ina cost kiasi gani?kwa kuanzia sihitaji complicated software,just simple to use.
Nawasilisha wakuu.