mie ninacho maeneo ya samaki karibia na irene kiwia kina vyumba vi2 na sebule pamoja na master
mie ninacho maeneo ya samaki karibia na irene kiwia kina vyumba vi2 na sebule pamoja na master
heyy people natafuta chumba na sebure au chumba tupu mitaa ya africana, mbezi beach or samaki. chumba kiwe na choo ndani
Maeneo hayo vp hakunaga mafuriko? angalia kuna jamaa angu alichukua chenye choo ndani mafuriko haya ya juzi mavi si yakawa yanarudi kwenye pipe ile yalitapakaa sebureni na chumbani
hahaaa mkuu hii inachekesha japo inatia huzuni