Natafuta marafiki bila kubagua jinsia,popote pale usomwapo huu ujumbe.
Sifa: Hakuna kigezo.
Kwa mawasiliano zaidi unaweza kuni PM, asante.
Namtafuta rafiki oooohhhh rafiki..
Rafiki yako ni nani oohhhh ni nani??
Rafiki yangu fidodido oohhhh fidodido
Utamnunulia nini avaeee aringeeeee..
Huo wimbo umenikumbusha mbali sana.
Ntamnunulia petee apate mchumbaaa
Haya mchukue uendeee nayeee..
Chamkononi kinajipasuaaaaaa
Tena na tenaa chamkononiii..........
Hata ukinuna chamkononi........
HahahaKwanza samahani kuchakachua thread yako Pili umenijia kwachani niliposoma heading Ya hii thread .. dahhhh maawazo yangu yalirudiMiaka ili tunachojua madaku, kuruka kamba, gololi etc..lolzHuo wimb umenikumbusha mbali sana.
HahahaKwanza samahani kuchakachua thread yako Pili umenijia kwachani niliposoma heading Ya hii thread .. dahhhh maawazo yangu yalirudiMiaka ili tunachojua madaku, kuruka kamba, gololi etc..lolz
Hahahahaha lolvipi je kusukuma Tyre laBaiskeli na kijiti ..Hii ndo nilikuwa napenda kutengenezaMpira na soksi pamoja na mifuko ya Plastic bag (rambo) lolzTumetoka mbali sana, leo hii nikicheza gololi watanishangaa sana, lakini madaku, kuruka kamba yote hayo kanyaga twende. Bhabheja sana.
Hahahahaha lolvipi je kusukuma Tyre laBaiskeli na kijiti ..Hii ndo nilikuwa napenda kutengenezaMpira na soksi pamoja na mifuko ya Plastic bag (rambo) lolz