Natafuta rafiki wa kubadilishana mawazo

Peter Musiba

Member
Jan 18, 2012
8
0
M2 yeyote ndani ya jf ambaye yuko tayari 2we marafiki kwa ajili ya kubadilishana mawazo,kupeana changamoto kimaisha pamoja na kutchat,na si vinginevyo ajitokeze.
 
Mbona tupo wengi mkuu,ndiyo maana tumo humu na mitandao mingine.Au nipo nje ya mada?
 
haya kwa mfano me saizi nawaza nile coz njaa inauma,we unawaza nini???si ndo kubadilishana mawazo kwenyewe!!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom