Peter Musiba
Member
- Jan 18, 2012
- 8
- 0
M2 yeyote ndani ya jf ambaye yuko tayari 2we marafiki kwa ajili ya kubadilishana mawazo,kupeana changamoto kimaisha pamoja na kutchat,na si vinginevyo ajitokeze.
Njoo tubadilishane mawazo,hilo ni jambo zuri.
haya kwa mfano me saizi nawaza nile coz njaa inauma,we unawaza nini???si ndo kubadilishana mawazo kwenyewe!!
Ndo wanavyoanzaga we jipeleke utaona utakavyobadilishiwa kibao
haya kwa mfano me saizi nawaza nile coz njaa inauma,we unawaza nini???si ndo kubadilishana mawazo kwenyewe!!
Mbona tupo wengi mkuu,ndiyo maana tumo humu na mitandao mingine.Au nipo nje ya mada?