WanaJF,
Mi ni kijana wa miaka 27, naishi Dar na nimeajiriwa. Ni Mkristo na natokea Kanda ya Ziwa. Natafuta Rafiki wa Kike (Girl Friend) aliye na umri wa kati ya miaka 18 - 24. Kwa yule ambaye yuko serious, nitampa private contacts zangu. Niko serious, sipendi utani wala kubezwa. Kama hauko interested nipotezee!
Karibuni!
Mi ni kijana wa miaka 27, naishi Dar na nimeajiriwa. Ni Mkristo na natokea Kanda ya Ziwa. Natafuta Rafiki wa Kike (Girl Friend) aliye na umri wa kati ya miaka 18 - 24. Kwa yule ambaye yuko serious, nitampa private contacts zangu. Niko serious, sipendi utani wala kubezwa. Kama hauko interested nipotezee!
Karibuni!