Jodoki Kalimilo
JF-Expert Member
- Feb 12, 2012
- 12,013
- 10,169
Ndiyo vigezo vyangu nilivyoweka kumpata wa kutoka naye out kama wewe una vya kwako sivihitaji
Vigezo si vya kwangu umeweka wewe mwenyewe sie tumejazia nyama tu ndio ikajulikana kwamba the reason ya kumtaka huyo wa form 4 ni lugha kwani kwenye post yako hukuweka lugha mpaka mdau mmoja akakuuliza why form form 4, hapo ilikuwa angalizo flani kwa wadau wengine anaweza akawa ana imani mtu wa level flani kielimu atakuwa ni mjuzi wa english kumbe siku hizi ni utandawazi mtu anaweza akawa na vigezo hivyo kumbe amepitia katika mfumo ambao unafundisha kwa lugha nyingine