- Thread starter
- #61
Mimi nina Elimu ya Dunia kama an added advantage mbali na ile ya chuo.Aise ndani ya kuspend kuna vigezo gani? na wewe pia hujasema una elimu gani mpk utafute mwenye elimu.
Embu tujuze ili tufahamu .
Mimi nina Elimu ya Dunia kama an added advantage mbali na ile ya chuo.Aise ndani ya kuspend kuna vigezo gani? na wewe pia hujasema una elimu gani mpk utafute mwenye elimu.
Embu tujuze ili tufahamu .
wewe mshamba naona ...wewe unajua vipi unaqualify sana kwangu? inaelekea una mambo ya kitoto ...nilitaka kuja unipe hata michongo ya china niwe nashusha macontena ..naona wewe umekaa kikilaza zaidi kwa iyo post yako...Wewe ni PM kwa mawasiliano zaidi.Lakini kabla sijafika itabidi nikupe maelekezo ukae mahali ambapo ni rahisi kwa wewe kuonekana ili kabla hatujaonana nikuone kwanza mimi nione kama wewe una vigezo ninavyovitaka,kama huna nitoke nduki kabla hatujafahamiana.Uko hapo.
Samahani kama nimekukwaza,lakini hii post yangu haiko kwa ajili ya kuongelea michongo/mambo ya biashara,hapa ni kwa ajili ya mahusiano,mapenzi na mapendowewe mshamba naona ...wewe unajua vipi unaqualify sana kwangu? inaelekea una mambo ya kitoto ...nilitaka kuja unipe hata michongo ya china niwe nashusha macontena ..naona wewe umekaa kikilaza zaidi kwa iyo post yako...
mpenzi wa siku moja...hakuna mtu anajiuza humuSamahani kama nimekukwaza,lakini hii post yangu haiko kwa ajili ya kuongelea michongo/mambo ya biashara,hapa ni kwa ajili ya mahusiano,mapenzi na mapendo
umeona eeeh...sijui ni feki nayo?
Inategemea anaweza akawa wa siku moja au akawa wa moja kwa moja.Kama ujuavyo mwonja asali anaweza kuchonga mzinga.mpenzi wa siku moja...hakuna mtu anajiuza humu
feki ,mchina mtupu cheki alivonijibu hiiinabidi tumtume mtu athibitishe
Nilikuwa safarini China ndio nimerudi hapa Bongo.Niko mpweke sana natafuta msichana mrembo asiwe mnene sana umri kuanzia miaka 21-35 wa kula naye starehe weekend hii kuanzia Jumamosi tarehe 15 hadi Jumapili tarehe 16 .Msichana mwenyewe awe na elimu angalau kuanzia kidato cha nne na kuendelea.Awe anaishi hapa Dar.Aliye tayari naomba ani PM mapema tuanze mikakati ya kupanga jinsi ya kukutana.
Yuko mbali kashapata jiko tayari.
Tatizo la kukariri vitu,Kajifunze vizuri Lugha.Mimi natafuta She.
Sasa hiyo one night stand inahusu nini na elimu, nenda kwa mtogole aisee
Wewe mkaka, umepima? Au unadhani ukitutishia China tu tutajiloa. Jaribu mtaa wa Ohio mida ya kuanzia saa 2 usiku utawapata wengi.Nilikuwa safarini China ndio nimerudi hapa Bongo.Niko mpweke sana natafuta msichana mrembo asiwe mnene sana umri kuanzia miaka 21-35 wa kula naye starehe weekend hii kuanzia Jumamosi tarehe 15 hadi Jumapili tarehe 16 .Msichana mwenyewe awe na elimu angalau kuanzia kidato cha nne na kuendelea.Awe anaishi hapa Dar.Aliye tayari naomba ani PM mapema tuanze mikakati ya kupanga jinsi ya kukutana.
Huna haja ya kujua nitakayempata ndiye tutajulishana siku tutakapokutana kuondoleana upweke.ee bwana ulikuwa mji gani huko China? na umesema ulikuwa safarini China au ulikuwa unaishi China umekuja likizo...
Kupima nini,Kwani tukikutana ni lazima ku do.Hata kama tuta do si mpaka tukubaliane tuta do namna gani? Upo hapo.Wewe mkaka, umepima? Au unadhani ukitutishia China tu tutajiloa. Jaribu mtaa wa Ohio mida ya kuanzia saa 2 usiku utawapata wengi.
Huna haja ya kujua nitakayempata ndiye tutajulishana siku tutakapokutana kuondoleana upweke.
Utoto unakusumbua Akikukubalia ni mjinga.Kwani vitu vya baba yako ni vya kwako? Unaonyesha ulivyo kilaza.Hizo zilikuwa story zangu kwa modem nikiwa sekondary, kila nilopotoka likizo story zilikuwa kama hivi; basi kuna siku baba aliondoka nyumbani akasahau kuficha funguo ya gari, mimi na bro wangu anayesoma china tukachukua gari mpaka kwa rafiki yetu fulani hivi. wewe saa ngapi hatujakutana na mama njiani akiwa na gari yake ya kazini. tulidhani hajatuona kumbe kashatuona. Tulirudisha gari haraka nyumbani. baba na mama walipokuja mimi nilijificha nyuma ya friji yetu na bro akajificha nyuma ya kabati kubwaa. baba akatoa bastora na kusema njooni hapa kabla sijawatafuta............. tukimfuata na kumuomba msamaha alikuwa akifurahi na kutupa pesa kila mmoja wetu. ndio maana mimi nikirudi likizo huwa nakuwa na pesa nyingi sana. maana baba ukimuomba msamaha tu anakupa pesa. We ngoja jumapili tutoroke twende mjini tuka-spend. HAPO BADO MODEM HAJAINGIA KINGI TU.
Kilaza ni wewe jamaa ambaye unatafuta modem wa kutoka nawe kwa swaga za nimerudi juzi toka china. Nimejaribu kukuonyesha jinsi unavyotumia sela za zamani sana, zimepitwa na wakati. Hizo tulitumia miaka ya 80's - 90's tukiwa sec.Utoto unakusumbua Akikukubalia ni mjinga.Kwani vitu vya baba yako ni vya kwako? Unaonyesha ulivyo kilaza.
Hizo za siku hizi zikoje.Kwanza inaonyesha wewe bado mtoto mdogo nikibishana na wewe ni kupoteza wakati nisije kuwa nabishana na mtoto wa chekechea humu.Kilaza ni huyo jamaa ambaye anatafuta modem wa kutoka nae kwa swaga za nimerudi juzi toka china. Nimejaribu kumuonyesha jinsi anavyotumia sela za zamani sana, zimepitwa na wakati. Hizo tulitumia miaka ya 80's - 90's tukiwa sec