Nilikuwa safarini China ndio nimerudi hapa Bongo.Niko mpweke sana natafuta msichana mrembo asiwe mnene sana umri kuanzia miaka 21-35 wa kula naye starehe weekend hii kuanzia Jumamosi tarehe 15 hadi Jumapili tarehe 16 .Msichana mwenyewe awe na elimu angalau kuanzia kidato cha nne na kuendelea.Awe anaishi hapa Dar.Aliye tayari naomba ani PM mapema tuanze mikakati ya kupanga jinsi ya kukutana.