Cool Gentleman
JF-Expert Member
- Jun 10, 2012
- 330
- 235
- Thread starter
- #81
deadline lini mkuu mimi nasubiri siku ya mwisho niapply
Smile acha fujo bana. Mchakato unaendelea. Deadline this week.
deadline lini mkuu mimi nasubiri siku ya mwisho niapply
daaah week sipo ..naona hili zali limenipita bwanaSmile acha fujo bana. Mchakato unaendelea. Deadline this week.
Preta unamkumbuka cousin yangu aliyelamba gharasha kuleeeeeeeee, kila cku namwambia ajiunge jei efu hataki, si unaona sasa, ila nitampa email add ya huyu kaka! lolayaaaaa.....nakuPM sasa hivi.....
ila namba 3 itaniangusha....lakini tutarekebisha......
cacico; Preta alikuwa anakoleza soga tu. Sijamwona teeeeeeena. Nadhani jamaa yake kampiga stop alipomwona mitaa hii. Nilitumiwa PM ya Mkwara kuwa alishamvisha pete. Eti . . . jamani!Preta unamkumbuka cousin yangu aliyelamba gharasha kuleeeeeeeee, kila cku namwambia ajiunge jei efu hataki, si unaona sasa, ila nitampa email add ya huyu kaka! lol
Preta mtu mzuri, na ana maamuzi jamaa yake hawezi kumfikiria hivyo, alichezwa unyago chini ya bahari huyo, chezeiya watu na mazindiko yao, kaka Cool Gentleman nitaongea na cousin yangu usijali, atakutumia email, natumaini utafanikiwa!
Preta nimeongea na laaziz wangu, my sugar Young_Master amfungulie account hapa fasta aanze kujisevia! ni mwendo wa mitandao tu, kizazi hiki, kazi ipo wallah!mwambie aje huku ale kichwa......
mimi sijui kuandika
Preta mtu mzuri, na ana maamuzi jamaa yake hawezi kumfikiria hivyo, alichezwa unyago chini ya bahari huyo, chezeiya watu na mazindiko yao, kaka Cool Gentleman nitaongea na cousin yangu usijali, atakutumia email, natumaini utafanikiwa!
cousin yupo pouwa my dear Cool Gentleman utamuona tu akikutafuta! i hope utampenda ngoja nianze kumuimbisha, maana ana tabia za kisista!Mimi sitaki mambo ya mafiga matatu, nataka jiko langu la peke yangu la kupikia mwenyewe. Kwani huyo Cousin niaje?
cousin yupo pouwa my dear Cool Gentleman utamuona tu akikutafuta! i hope utampenda ngoja nianze kumuimbisha, maana ana tabia za kisista!
i meant sista wa kanisani, yaani ana tabia za kilokole!Tabia za Kisister Du niaziweza na mimi ni Kibabu?
i meant sista wa kanisani, yaani ana tabia za kilokole!
Natafuta rafiki wa kike ambaye nitampenda na kumjali, kubadilishana mawazo, company na kusaidiana katika mambo ya maisha.
Sifa zake:
- Awe na Umri usiopita miaka 40
- Awe na umbo zuri na sura ya kuvutia na uzuri wa asili
- Awe na tabia njema na asiwe na tamaa mbaya
- Awe ana ndoto za maendeleo na mitazamo chanya katika maisha na anayejiamini
- Awe na Elimu ya kuanzia ngazi ya Diploma - PhD
- Awe tayari kupendwa na kupendeka, kudekezwa na kudeka
- Awe tayari kwa uhusiano wa muda mrefu kama tutaelewana
Sifa zangu:
- Umri wangu miaka kati ya 45-50
- Elimu yangu: Shahada ya Uzamili
- Kazi: Nimeajiriwa na Kujiajiri
- Sina mke
- Nina watoto wawili
Ambaye yuko seriously tuwasiliane kwa PM au barua pepe gentleman.waukweli@gmail.com
PM na barua pepe zote zitajibiwa 24X7 kwa walio seriously