Zaman utaftaji wa marafiki ulikua kwenye magazeti tu, sio cku hizi kwenye maFacebook, twitter etc.Hiyo ilikua miaka ya 9O mwishoni wakati huo nlikua mdogo. Kulikua na Mjomba angu alitoa address zake kwa gazeti(jina la gazeti ckumbuki) na kipindi hiyo kulikua hamna cha kuweka namba zako simu wala cha Email sababu hizo mambo zilikua hazijaingia Bongo, kwa hiyo kila cku anapga safari kwenda Posta Office kuangalia barua kama kuna mtu kajitokeza ili wawe marafiki, ila sa hivi ukimuuliza anasema udwanzi! teh! teh! teh! TAIFA LIMEPIGA HATUA...