dyuteromaikota
JF-Expert Member
- Apr 30, 2013
- 5,907
- 8,246
kwa maelezo hayo aliyotoa sidhaniHahahhh ila watu wa jf mwenzenu yupo serious anataka mchumba nyie mnaleta utani
kwa maelezo hayo aliyotoa sidhaniHahahhh ila watu wa jf mwenzenu yupo serious anataka mchumba nyie mnaleta utani
ahaa kumbe bhasi utampata tu.nah
Nahitaji tu rafiki kwa sasa urafiki ukikua na ikaonekana kwamba tunaweza ku-copy tutaamua iwe hivyo
Tupo bhaba yeye aje PM,tuDada umepotea njia,huku kuna mburura tupu!
unapatikanaje banaMimi ni msichana wa miaka 25, mrefu, mweupe, mkristo, sina mtoto ni degree holder na kwa sasa nimeajiriwa, natafuta rafiki wa kiume ambaye baadae tunaweza kuwa mume/mke kama itafaa. vigezi vyangu ni awe mtu mzima sana kuanzia miaka 35 mpaka hamsini, hata akiwa na watoto wa rika langu hilo sijali, awe mjane au aliachana na mke wake, Awe na kazi halali inayomuingizia kipato(status). Nina imani mtu wa age/aina hiyo ameshakomaa kiakili na anaweza kuanzisha mahusiano.
NB: 1. Sio kwamba mimi sio mrembo au nimekosa mwanaume hapana, kazi yangu inanibana kiasi kwamba ni ngumu kukutana na watu wa aina hiyo.
2. Muda mwingi ninapopata nafasi nikiwa nje ya kazi nautumia nikiwa nyumbani huwa sipendi kutoka hivyo muda mwingi nakuwa nyumbani/mpweke. Mimi sio mtu wa kujichanganya.
3. Mimi sio tegemezi ila kama mwanaume wa kweli unahitaji kumuhudumia mpenzi wako/ kama tutafikia huko kadri utakavyoona inafaa.
4. Mimi mpambanaji hivyo atakayejitokeza awe wa aina hiyo kama yangu/ au tayari alishapambana.
5. Nampa mwaka mmoja wa kunichunguza na kujua tabia zangu kama atatamani tuwe wapenzi/mume na mke.
6. I feel more secured nikiwa kwenye mahusiano na mtu mzima.
KARIBU PM.
Teh...teen...teeeh...teeeeh....ngoja ahangaike na hao wazee wake, na siku hizi waongo kama nn.Mkuu kumbe tupo wengi ametuona bado tuna maziwa
Afu anahangaika na wazee, au hajui mda wa kuishi kwa Mtanzania umeshuka hadi miaka 55 kama mtu huyo hajapatwa na magonjwa sugu( yasiyotibika), au anataka awe mjane mapema!!!Hahahhh ila watu wa jf mwenzenu yupo serious anataka mchumba nyie mnaleta utani
Yawezekana ndo hitaji lake hilo mkuu so tumpongeze kwa kupenda baba na babu zake kuwa wanaume wa kumuweka ndani yeyeTeh...teen...teeeh...teeeeh....ngoja ahangaike na hao wazee wake, na siku hizi waongo kama nn.
Hahahhh nyie hawataki bado wattoAfu anahangaika na wazee, au hajui mda wa kuishi kwa Mtanzania umeshuka hadi miaka 55 kama mtu huyo hajapatwa na magonjwa sugu( yasiyotibika), au anataka awe mjane mapema!!!
Shifa pm hajibuHahahhh ila watu wa jf mwenzenu yupo serious anataka mchumba nyie mnaleta utani
Subili atakujibuShifa pm hajibu
Haya bhanaSubili atakujibu
Shifa pm hajibu
mahaba ntafune
Siku hizi ma young boy wengine tuko vizuri aache ushamba, kukimbilia over age.Hahahhh nyie hawataki bado watto
Shunie wewe hutafuti nijitose! walai Mtoto Mashallah umenifanya gahawa hii nayokunywa niombe kashataSubili atakujibu