Masanilo
Platinum Member
- Oct 2, 2007
- 22,286
- 4,493
Kuna umuhimu wa kuwa na elimu jamani, ndo maana nikaomba awe na degree, mimi niko naishi ughaibuni jamani, hivyo nategemea mke pia aje kuishi uku, sasa kama elimu itakuwa chaka tutapata shida kupata kazi, la sivyo ataishia kufanya kazi za ajabu ajabu, wakati mke wangu nataka afanya kazi fresh uku tunatafuta mkwanja wa kumuupdate, au siyo?
poa kaka
Mazee suala lako linataka sana subira na hekima, kuweka vigezo kwenye masuala ya ndoa ni very hypothetical, kumbuka kuwa na mke ni kuwekeana agano hadi mwisho wa maisha yenu (Kitabu vya dini -kikristo) Upendo ni kitu muhimu sana anaweza kuwa na vigezo vyote hivyo siku ikatokea umekatika miguu mama ataanza...ningekushauri bwana mdogo usitafute mke kama unatafuta shamba ama kununua nyama buchani...mwombe Mungu akupe busara na akuchagulie mke...elimu, GPA does not work.....ushauri kuwa na Girl friend ukiona mnaelewana owa...kuna rafiki yangu sasa ni prof aliowa bar maid na wapo poa happily.
Usipokuwa makini ndoa inaweza kukuchanganya...ukawa kama mimi kaka yako sitaki kuowa, samahani kama nimetoka nje ya mstali nimejisikia kukupa walau mawaidha