Naona wengi wanachenguka na vigezo nilivyokuwa nimeviainisha, wengi wamelalamikia kigezo cha umri kwamba kinawabana, labda nipunguze.
IDIMI, Mimi ni yule gerofrendi uliyekuwa unamtafuta, Nimefikisha sifa zote sasa. Umri nimepunguza, From now on, I'm 25yrs instead of 33yrs, just for you (Imekaaje hiyo). Sifa nyingine zote nilikuwa nazo tangu mwanzo, hilo la umri tu ndo lilikuwa tatizo, sioni hasara kupunguza, Unasemaje sasa?