Pearl
JF-Expert Member
- Nov 25, 2009
- 3,036
- 309
sidhani kama kuna aliyepinga hapa tunajaribu kumuelekeza marafiki gani aanze nao as for her case anataka atakaekuwa kama ndugu!tunao marafiki ndio but tunajua yupi rafiki yupi mnafiki!marafiki wazuri na wabaya ni kama mkono wa kushoto na kulia lazima ypte itumike kwa kazi tofauti tofauti,so we all need both types of friends!
JF raha sana, yaani hapa watu wanapinga tu oooh marafiki wabaya mara marafki wanafiki, ukiangalia profile zao wamejaza marafiki kibao yaani nashindwa kuelewa hapa!:sleepy::sleepy: