newmzalendo
JF-Expert Member
- Mar 23, 2009
- 1,378
- 550
Punda in DAR?
naomba unielimishe jinsi utakavyo watumia, na faida zake,naweaza kushawishika kufuga nami, ukivuka kigamboni about 2km from ferry kuna kanisa la kipentekosti ,kuna jamaa anauza vyungu/mitungi,huwa naona punda wawili wakila majani,nahisi anayewafuga yupo karibu,unaweza pata more information .
Yaeda ipo mbulu/karatu
Front Page 4
naomba unielimishe jinsi utakavyo watumia, na faida zake,naweaza kushawishika kufuga nami, ukivuka kigamboni about 2km from ferry kuna kanisa la kipentekosti ,kuna jamaa anauza vyungu/mitungi,huwa naona punda wawili wakila majani,nahisi anayewafuga yupo karibu,unaweza pata more information .
Yaeda ipo mbulu/karatu
Front Page 4
Kuhusu eneo nilalo kubwa Preta ( ekari tatu nadhani zinatosha)
Yaeda ndo wapi huko? si vibaya ukinisaidia kuuliza bei.
Punda milia a.k.a Zebra simuhitaji! Mi namtaka huyu punda kihongwe ili afanye kazi......kama siku simuhitaji nitamuuza.