wakishakutumia message uziweka hapa na mimi natafuta lakini mimi angalau ya 1.5 iwe hinda tu
nauza TIBETA na miezi miwili toka nimenunua ni kwa matumizi ya ofisi wala si boda boda laki 9 ni PM ka unataka ipo dar
naitaji pikipiki ilio katika hali nzuri isiyozid LAKI 8 iwe FEKON/SANLG/HONDA tuma msg kabla ya kupiga no 0654183778
Nina uza Pikipiki aina ya Platina Bajaji, bei 1200000/=. Niko Dar es Salaam