Hata mimi nahitaji scholarship.nataka nikasome masters india.
unataka ya ndan au ya nje? na kama ni nje nchi gan? na je unataka ya masterz au phd? weka details vema nitakusaidia hapahapa ili na wengine wafaidike, jf ni umoja
PS TANZANIA
Magomeni Mapipa : Mtaa wa Dossy, Nyumba No 41
Mobile: +255 653 334 383, +255 788 545 614, +255 755 953 658
EMAIL: psychologicalsupport@hotmail.com
Habari wakuu,
Kama kuna anaejua ofisi hapa bongo inayoweza kuhangaika kwa niaba yangu kutafuta scholarship na ni ilipe anisaidie kwa PM please, maana naona kazi!