jackiedmos
New Member
- Apr 4, 2011
- 3
- 0
natafuta nyumba maeneo ya kuanzia mbezi Africana kurudi hadi kijitonyama hadi makumbusho. vyumba viwili vya kulala, sebule, jiko, dining, na parking.
Thanks
Thanks
Mkuu nilivyomuelewa mimi huyu anatafuta nyumba ya kupanga na sio ya kununuaKuna nyumba ipo sinza barabara ya kanisani karibu na udzungwa library bei m70 kama uko tayari tuwasiliane