Dalali anakula ngapi?
Naombeni msaada wenu wakuu wa moshi!
Nyumba iwe self ya kuanzia room mbili au tatu.
Isiwe mbali sana na sehemu ya kupanda daladala za kwenda mjini.
Iwe na fensi na nafasi ya kueza kupak gari!
Bei 120,000/= - 150,000/=.
Mwenye msaada ani PM.