wapalepale
JF-Expert Member
- Mar 21, 2011
- 259
- 56
wadau nisaidieni, naomba kama mwenye details zozote kuhusu hili, nyumba iwe na vyumba 2 vya kulala (kimoja kikiwa self contained itapendezazaidi), sebule kubwa ya kutosha, na stoo. pia kama meter iwe yangu mwenyewe