Natafuta nyumba ya kupanga maeneo ya sinza,tabata st.mary,shule au relini.

Uhurunakazi

New Member
Jul 4, 2011
1
0
Wanajf,
Salaam zenu wote.Mimi natafuta nyumba ya kupanga katika maeneo tajwa haswa lakini nina flexibility kiasi kwa maeneo mengine pia kama mwenge na ubungo.Natafuta nyumba ya bedroom 2, choo na bafu ndani na preferably yenye fence.Offer yangu ni 150,000 - 200,000/= kwa mwezi miezi sita (6)
Mwenye taarifa tafadhali anijuze.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom