@@@! Natafuta "Nyumba Ndogo" !@@@

Obuntu

JF-Expert Member
Feb 6, 2008
510
34
Habari yenu watu wa Mungu ...

Natafuta mpango wa kando aka nyumba ndogo aka small house ...

Sifa

1. Awe ni Mwanamke
1. Awe Ameolewa na ameachika
1. Awe ameolewa na anajuta kuolewa
1. Kama hajaolewa awe na "mpango" wa kutokuolewa

PAW - hii usipeleke jukwa la Maria Roza wala funzadume pse...
 
Skulmeti bana!


oups sorry mwandiko wako nimeufananisha na mwandiko wa skulimeti wangu.:photo:
 
Skulmeti bana!
oups sorry mwandiko wako nimeufananisha na mwandiko wa skulimeti wangu.:photo:

Ok - inampendeza Mungu - but

:hand::hand:........."Hodi" ya chooni haiitikiwi "karibu"................:israel::israel::israel:
 
Kama unatafuta nyumba ndogo, ni dhahiri kwamba nyumba kubwa tayari unayo. Je imekuboa nini? Au na yenyewe imeshatafuta small house hivyo unataka kulipiza??
 
Kama unatafuta nyumba ndogo, ni dhahiri kwamba nyumba kubwa tayari unayo. Je imekuboa nini? Au na yenyewe imeshatafuta small house hivyo unataka kulipiza??

Nyumba kubwa haijaniboa - bali - naitafutia msaidizi
 
naanza kujuta kwa kweli......



Boss ile kitu ulitoa siku ile, IMPACT yake ni kubwa saana hasa in the long run, na hasa kwa wanaume ambao bado ni wavulana. Nimenotice one thing about this crazy topic, yawezekana kabisa majority ya washadadiaji hata hawaendekezi hayo mambo kuliko walo kimya AU wanaoshabikia ili waonekane wao ni wanaume pia kama hao wanaoshadadia.... Sasa tatizo ndo linakuja hapo... Will they be responsible cheaters?? Will they know why they cheat?? Wanajua mziki unao husisha kua na nyumba ndogo?? na nini hasa kinawafanya wafikiri they will be more happy... kama nilivosema hapo juu.... Sad.
 
Boss ile kitu ulitoa siku ile, IMPACT yake ni kubwa saana hasa in the long run, na hasa kwa wanaume ambao bado ni wavulana. Nimenotice one thing about this crazy topic, yawezekana kabisa majority ya washadadiaji hata hawaendekezi hayo mambo kuliko walo kimya AU wanaoshabikia ili waonekane wao ni wanaume pia kama hao wanaoshadadia.... Sasa tatizo ndo linakuja hapo... Will they be responsible cheaters?? Will they know why they cheat?? Wanajua mziki unao husisha kua na nyumba ndogo?? na nini hasa kinawafanya wafikiri they will be more happy... kama nilivosema hapo juu.... Sad.

watu wanasahau siku ile ilkuwa nyerere day asubuhi....siku ya kufurahi na kuchangamshana hivi...
nimegeuka 'mtume' naona sasa...hadi nachukia...
 
Nyumba ya udongo au tofali? Ya mabati au majani?? Oohppss kumbe ni mpango wa kando sory napita tu hapa
 
watu wanasahau siku ile ilkuwa nyerere day asubuhi....siku ya kufurahi na kuchangamshana hivi...
nimegeuka 'mtume' naona sasa...hadi nachukia...


Boss sijawahi kukuona unatoa such a lame excuse.....lol
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom