Aisee hii kweli ni JF for lunatics.Yaani hata aibu huoni unatangaza ufuska wako wazi wazi.Kama bado wewe sio Freemason ni heri ukajiunga tu,maana wao haya ndio mambo yao.
Kaombe ushauri kwa John Warker. mpuuzi wa mwisho we.
Hacha ujinga ww kalale kkoo kwny mabox km huna pa kulala ebo!
tunaomba Mods watulinde na hawa wasiojua maana ya jukwaa la utani/vichekesho/udaku.Hivi Jamii Forums Kiwango Kinapanda Au Kinashuka?