Mwana JF, Arusha ni jiji la kimataifa sasa na nyumba ni ghali sana. Kwa sh. 150,000/= siyo rahisi kupata nyumba. Katika maeneo uliyotaja nyumba huanzia laki nne na kuendelea. Hivyo kama unahitaji nyumba kweli ongeza hilo dau utaona wengi watakuandikia.
Great Thinkers,
Natafuta nyumba, ikiwa na vyumba 2 vya kulala, Sebule, Chooo, Jiko na Parking maeneo yeyote Arusha (preferably Njiro, Burka,Nane Nane, isiwe mbali sana na barabara kubwa.
Great Thinkers,
Natafuta nyumba, ikiwa na vyumba 2 vya kulala, Sebule, Chooo, Jiko na Parking maeneo yeyote Arusha (preferably Njiro, Burka,Nane Nane, isiwe mbali sana na barabara kubwa.
Aisee hayo maeneo uliyotaja unaweza kupata nyumba lakini sio karibu na barabara.
Vipi maeneo ya sakina pia ni pazuri kuna ambayo rafiki angu anategemae kuhama mwisho wa mwezi huu ngoja nicomfirm alafu nitakujulisha hata kwa kukupatia namba ya landlord.
Arusha nyumba ni issue sana ni rahisi kupata kazi kuliko nyumba.
kweli mkuu hawa jamaa wameharibu maisha ya arusha kabisa!UNICTR wameshababisha nyumba kuwa ghali hasa hiyo mitaa ya njiro unayotaja
Ila wanaondoka sasa, nadhani mambo yatabadilika sana tu