Nani kapiga hii ngoma?nilidhani wewe Chanda na mimi Pete yake
Kama unao mkuu niku Pm plz unisaidie.
mtwangio
chura
nimezamaaa kwa mapenzi
ni bure zenu fitina, si wala hatuzijali
Umenikumbusha mbali sana. Nikiwa na umri was miaka 11 nliwahi msindikiza mama sehemu inaitwa Mtupie, Chumbageni basi wee huo wimbo ulikua ukiimba redioni na msusi anaimba kwa hisia nikajikuta naupenda.Napenda ule ulioimbwa na toti natanga na njia, sijui nitaupata wapi.