Mzuvendi
JF-Expert Member
- Apr 28, 2009
- 561
- 544
Hilo la paka ni wazo zuri sana,jitahidi kuwasiliana na aliyekupa offer ya kanyau kadogo lakini ufuate masharti ya ufugaji wa nyau asijekuwa nyau koko tu.Na hapo nilipo hi light ni vizuri wakati unanunua sumu hiyo uhakikishe kama ni feki au sio feki kwa kuionja kidogo maana hizi bidhaa za kichina siku hizi zimeharibu sana ubora wa bidhaa.
Mbona ujipendelehi? Wewe si paka mweusi.