CHE GUEVARA-II
JF-Expert Member
- Jun 17, 2010
- 571
- 156
Wadu naomba mnisaidie nataka mwezi January, 2011 ninunue ng'ombe wa kati ya miezi 8-12.
Nataka females 100 (age 8-12 months old) & males 20 (18-24 months old) - jumla 120 cattle.
Angalia kiambatanisho kwenye uzi huu:http://www.flickr.com/photos/ilri/5096034384/(nataka ng'ombe wadogo wenye size ya hao watatu wadogo mnaowaona katika kundi)
Naomba mniunganishe na wafugaji wa Biharamulo, Karagwe, Ngara n.k. ili niwasiliane nao, itakapofikia kipindi nataka niwakusanye wanisaidie.
Kwa wale wanaojua, naomba pia mniambie ng'ombe kama hao wanauzwa bei gani huko (bei zao kulingana na umri nilioutaja zina-range vipi)?
Natanguliza shukrani.
Nataka females 100 (age 8-12 months old) & males 20 (18-24 months old) - jumla 120 cattle.
Angalia kiambatanisho kwenye uzi huu:http://www.flickr.com/photos/ilri/5096034384/(nataka ng'ombe wadogo wenye size ya hao watatu wadogo mnaowaona katika kundi)
Naomba mniunganishe na wafugaji wa Biharamulo, Karagwe, Ngara n.k. ili niwasiliane nao, itakapofikia kipindi nataka niwakusanye wanisaidie.
Kwa wale wanaojua, naomba pia mniambie ng'ombe kama hao wanauzwa bei gani huko (bei zao kulingana na umri nilioutaja zina-range vipi)?
Natanguliza shukrani.