Natafuta ng'ombe "Ankole type"

CHE GUEVARA-II

JF-Expert Member
Jun 17, 2010
571
156
Wadu naomba mnisaidie nataka mwezi January, 2011 ninunue ng'ombe wa kati ya miezi 8-12.
Nataka females 100 (age 8-12 months old) & males 20 (18-24 months old) - jumla 120 cattle.
Angalia kiambatanisho kwenye uzi huu:http://www.flickr.com/photos/ilri/5096034384/(nataka ng'ombe wadogo wenye size ya hao watatu wadogo mnaowaona katika kundi)
Naomba mniunganishe na wafugaji wa Biharamulo, Karagwe, Ngara n.k. ili niwasiliane nao, itakapofikia kipindi nataka niwakusanye wanisaidie.

Kwa wale wanaojua, naomba pia mniambie ng'ombe kama hao wanauzwa bei gani huko (bei zao kulingana na umri nilioutaja zina-range vipi)?
Natanguliza shukrani.
 
Unataka kufugia wapi?nitakuunganisha na mtu anayeishi karibu na mnada wa hao ng'ombe ,karibu na Lake burigi
Wadu naomba mnisaidie nataka mwezi January, 2011 ninunue ng'ombe wa kati ya miezi 8-12.
Nataka females 100 (age 8-12 months old) & males 20 (18-24 months old) - jumla 120 cattle.
Angalia kiambatanisho kwenye uzi huu:http://www.flickr.com/photos/ilri/5096034384/(nataka ng'ombe wadogo wenye size ya hao watatu wadogo mnaowaona katika kundi)
Naomba mniunganishe na wafugaji wa Biharamulo, Karagwe, Ngara n.k. ili niwasiliane nao, itakapofikia kipindi nataka niwakusanye wanisaidie.

Kwa wale wanaojua, naomba pia mniambie ng'ombe kama hao wanauzwa bei gani huko (bei zao kulingana na umri nilioutaja zina-range vipi)?
Natanguliza shukrani.
 
Unataka kufugia wapi?nitakuunganisha na mtu anayeishi karibu na mnada wa hao ng'ombe ,karibu na Lake burigi
Mkuu, nitashukuru sana!
Nataka niwafugie Pwani - Kibaha au hata Bagamoyo katika eneo la 20-30 acres katika ZERO GRAZING. Na sitaki waje wachanganyike na hivi ving'ombe vingine vya ajabu ajabu. Nataka niwe nawavuna kila wanapozidi 150 - kila mwaka). I like them very much, tulikuwa nao zamani home, wakaisha wote. We had about 500 cows by then. Inabidi kuwafuga kwa akili, siyo ufahari kuyarundika yanakuwa mengi tu, inabidi kuwavuna, otherwise unaweza ukalia!
Naomba namba yake ya simu.
 
Mkuu, nitashukuru sana!
Nataka niwafugie Pwani - Kibaha au hata Bagamoyo katika eneo la 20-30 acres katika ZERO GRAZING. Na sitaki waje wachanganyike na hivi ving'ombe vingine vya ajabu ajabu. Nataka niwe nawavuna kila wanapozidi 150 - kila mwaka). I like them very much, tulikuwa nao zamani home, wakaisha wote. We had about 500 cows by then. Inabidi kuwafuga kwa akili, siyo ufahari kuyarundika yanakuwa mengi tu, inabidi kuwavuna, otherwise unaweza ukalia!
Naomba namba yake ya simu.

Hongera Mkuu!

Hapo umepata mradi wa kukutoa. Lakini uwe "serious" siyo utupiga ma-green tu humu JF! Ila mbona itakuwa kazi sana kuwaweka ng'ombe 120 kwenye zero grazing? Labda ungeniambia unataka kuanzisha small scale ranch hapo ningekuelewa. Hao Ankole mkuu ukiwachanganya na Boran wanatoka bomba sana maana utapata ng'ombe wazuri sana wa nyama.

Wazo lako na mimi ninalo Mkuu, napingana sana na ufugaji wa kuweka mamia ya ng'ombe wenye tija hafifu. Kwetu Wasukuma hiyo ndo fahari yetu, ng'ombe 1,000 lakini maisha magumu kichizi!! Watoto hata hawaendi shule. Nakutakia mafanikio mkuu tutakuwa tunajuliana hali mara tukianza hii kitu. Mimi nataka kufugia Kigoma.
 
Hongera Mkuu!

Hapo umepata mradi wa kukutoa. Lakini uwe "serious" siyo utupiga ma-green tu humu JF! Ila mbona itakuwa kazi sana kuwaweka ng'ombe 120 kwenye zero grazing? Labda ungeniambia unataka kuanzisha small scale ranch hapo ningekuelewa. Hao Ankole mkuu ukiwachanganya na Boran wanatoka bomba sana maana utapata ng'ombe wazuri sana wa nyama.

Wazo lako na mimi ninalo Mkuu, napingana sana na ufugaji wa kuweka mamia ya ng'ombe wenye tija hafifu. Kwetu Wasukuma hiyo ndo fahari yetu, ng'ombe 1,000 lakini maisha magumu kichizi!! Watoto hata hawaendi shule. Nakutakia mafanikio mkuu tutakuwa tunajuliana hali mara tukianza hii kitu. Mimi nataka kufugia Kigoma.

Nataka niwe nawachezea:
Niwe nachanganya mbegu bora ya Boran 9pure breed) na mbegu bora ya Ankole (pure breed)
Mbegu bora ya Freishian (puer breed) na mbegu bora ya Ankole (pure breed).
Halafu hizo products niwe nauza kwa ajili ya nyama, zingine natenga kwa ajili ya maziwa.

Maziwa YOTE yatakayokuwa yanatokana na hawa Ankole (ambayo huwa ni kiasi kidogo sana 1- 2 litre per cow in 24 hours) itakuwa inatumika kwa kulipa wafanyakazi, chakula cha wafanyakazi na matunzo ya ng'ombe hao. Mimi faida yangu itakuwa ni kuwavuna tu kila mwaka mara moja. Nikiuza 50 cows kila mwaka sikosi 15,000,000 - 20,000,000 ambayo naweza kusomesha watoto wangu watatu na kuwawekea miradi endelevu kama mashamba yenye ukubwa wa ekari kadhaa za maembe ya kisasa kwa ajili ya kumuuzia Bakhresa (AZAM) ili na wao kutokana na exposure (through formal and informal education) yao waweze kuweka vitu vingine kama hotels, hospitals au viwanda kama watahitaji! Au wakuu haiwezekani? Japo si rahisi kiasi hicho lkn IT IS POSSIBLE!

Kuna mzee mmoja ana ekari 300 za maembe (aliniambia ekari 1 ina uwezo wa kumpatia mkulima 15,000,000 kwa mwaka).
Ikiwa ni 10,000,000 kila ekari na na ekari 300 (tufanye 200 out of 300 nd'o ziwe productive).
Ina maanisha anaweza kutengeneza AT LEAST 10,000,000 x 200 = 2,000,000,000 Tshs per year!

Everything is possible if one is patient (not a patient) and determined!
Japo mimi labda naweza nisifanikishe hivyo kwa kipindi nilichopanga, mkiona mawazo yanalipa YOU BUY THE IDEAS
"People can help a man think, but they can't think for him/ her!"
 
Mimi nimeshaanza kuwafuga hao Ankole, na kwa sasa ninao kama hamsini hivi na ninawachukulia mnada wa Lusahunga. Kama unahitaji waweza kunitafuta kwa namba 0767558677.

Thanx Chibingu!
Will keep in touch (once I am ready will contact you)
Best regards,
Dr.Che Guevara-II
 
Unataka kufugia wapi?nitakuunganisha na mtu anayeishi karibu na mnada wa hao ng'ombe ,karibu na Lake burigi

Mkuu, naomba uniunganishe na mtu anayeishi karibu na mnada wa hao ng'ombe.
Hadi sasa nimeshapata majina ya minada ifuatayo:
Lusahunga. Mnada huu nilishawahi kutajiwa pia in last two years! It's absolutely correct!

Anyone with another idea?
 
Kwani wadau bei ya ngombe mmoja hapa Dar ni kiasi gani, na wa aina gani wanalipa zaidi? Au kama kuna aliyewahi kufuga basi tunaomba breakdown please! Thanks
 
Wadu naomba mnisaidie nataka mwezi January, 2011 ninunue ng'ombe wa kati ya miezi 8-12.
Nataka females 100 (age 8-12 months old) & males 20 (18-24 months old) - jumla 120 cattle.
Angalia kiambatanisho kwenye uzi huu:http://www.flickr.com/photos/ilri/5096034384/(nataka ng'ombe wadogo wenye size ya hao watatu wadogo mnaowaona katika kundi)
Naomba mniunganishe na wafugaji wa Biharamulo, Karagwe, Ngara n.k. ili niwasiliane nao, itakapofikia kipindi nataka niwakusanye wanisaidie.

Kwa wale wanaojua, naomba pia mniambie ng'ombe kama hao wanauzwa bei gani huko (bei zao kulingana na umri nilioutaja zina-range vipi)?
Natanguliza shukrani.


Mkuu CHE GUEVARA-II, vipi huu mradi wa livestock keeping, ulifanikiwa?? Ni miaka mi3 imepita sasa tangu ubandike hii thread...
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom