raia tz
Member
- Nov 21, 2011
- 89
- 16
Wakuu habari zenu,nina mdogo wangu amemaliza form four mwaka jana,ila kwa bahati mbaya hakufanikiwa kupata credit,sasa anahitaji kusoma ucc(university computing centre),ili aanze na cheti,diploma na baadae degree ya IT.je naweza pata nafasi pale.
1.pia naomba ushauri wa plan b kama CBE,DIT IFM NA INSTITUTE NYINGINE.
2.Kama kuna mtu ana connection ya hao jamaa wa hivyo vyuo naomba mni pm au mnicall kwa 0654000253:
3.Elimu ni ufunguo wa maisha,natamani mdogo wangu usome and i believe msaada utataoka huku JF.
Shukrani nawasilisha.
1.pia naomba ushauri wa plan b kama CBE,DIT IFM NA INSTITUTE NYINGINE.
2.Kama kuna mtu ana connection ya hao jamaa wa hivyo vyuo naomba mni pm au mnicall kwa 0654000253:
3.Elimu ni ufunguo wa maisha,natamani mdogo wangu usome and i believe msaada utataoka huku JF.
Shukrani nawasilisha.