Lengeri
Senior Member
- Jul 3, 2009
- 180
- 15
Hii inaweza isiwe njia sahihi ya kutafuta mwenza wa maisha kwa watu wengi sana kwenye forum hii lakini mimi naomba kwa sasa niitumie baada ya kutumia njia nyingine nyingi tu na kukumbana na wasichana wa ajabu sana...
Sifa zanguSifa za binti.
- Elimu ya chuo kikuu, degree ya kwanza.
- Dini muislamu...mimi sibagui dini
- urefu 5 11" ft
- Hodari na mtafutaji wa kweli wa maisha
- mchangamfu na pia napenda kujipa raha na kula bata ndogo ndogo za hapa na pale
- Napenda kusafiri,clubing,soccer,comedy (tyler perry's house of Pain is my favourite),movie,kukutana na marafiki wapya,napenda kupika na pia napenda kuhave fun..
- My favourite book... The autobiography of Malcom X
- Favuorite movie....Catch me if u can.
If it looks like nimekuvutia, go ahead and write me an email on rashmaki@gmail.com. kama unaona mizinguo poa lichunie na jiheshimu kwa kutokutoa comments za ajabu though siwez kuzuia uhuru wako wa kujiexpress....[/QUOTE]
- Msomi na anayejitambua
- mcheshi
- Mkweli na muhangaikaji wa maisha
- sibagui dini wala kabila
- Mwenye upendo wa kweli kwa mpenzi na ndugu.
- Anipende mimi kama mimi na si vinginevyo coz what I can promise is pure and true love coz all the materials can always come and go bt my love will remain to be pure and true forevever,
mkuu ufafanuzi hapo kwenye red...