Shishi
JF-Expert Member
- Feb 11, 2008
- 1,242
- 39
mmmh..ile kitu ya Dec imekuwaje tena?
Kaizer relax...wajua i believe u dont stop looking until ua ctually are off the shelves!!!! waweza patana na kitu bwana ukahairisha vyote ahahhahahahah!
mmmh..ile kitu ya Dec imekuwaje tena?
Kaizer relax...wajua i believe u dont stop looking until ua ctually are off the shelves!!!! waweza patana na kitu bwana ukahairisha vyote ahahhahahahah!
ai....Sishi!!!! mbona wataka kuniharibia siku hivi hivi lakini?
Chrispin is she beautiful ?i mean kwa umri wake bado wamo?Kwa mfano akajitokeza mjane mwenye miaka 45 na watoto watatu, uko tayari? Kuna mama mmoja namfahamu mwenye sifa hizo anahitaji kuolewa.
Shishi!wewe on whose behalf are u talking!!! ati wote ni occupied..usitukoseshe riziki eti!!
umesahau sifa muhimu kama
una akiba ya kiasi gani benki na inatarajiwa kuongezeka kwa kasi gani
usafiri wako binafsi ni upi (chooper, gari, pikipiki,daladala, au mguu)
holla!
Hii inaweza isiwe njia sahihi ya kutafuta mwenza wa maisha kwa watu wengi sana kwenye forum hii lakini mimi naomba kwa sasa niitumie baada ya kutumia njia nyingine nyingi tu na kukumbana na wasichana wa ajabu sana...
Sifa zangu
Sifa za binti.
- Elimu ya chuo kikuu, degree ya kwanza.
- Dini muislamu...mimi sibagui dini
- urefu 5 11" ft
- Hodari na mtafutaji wa kweli wa maisha
- mchangamfu na pia napenda kujipa raha na kula bata ndogo ndogo za hapa na pale
- Napenda kusafiri,clubing,soccer,comedy (tyler perry's house of Pain is my favourite),movie,kukutana na marafiki wapya,napenda kupika na pia napenda kuhave fun..
- My favourite book... The autobiography of Malcom X
- Favuorite movie....Catch me if u can.
If it looks like nimekuvutia, go ahead and write me an email on rashmaki@gmail.com. kama unaona mizinguo poa lichunie na jiheshimu kwa kutokutoa comments za ajabu though siwez kuzuia uhuru wako wa kujiexpress....
- Msomi na anayejitambua
- mcheshi
- Mkweli na muhangaikaji wa maisha
- sibagui dini wala kabila
- Mwenye upendo wa kweli kwa mpenzi na ndugu.
- Anipende mimi kama mimi na si vinginevyo coz what I can promise is pure and true love coz all the materials can always come and go bt my love will remain to be pure and true forevever,
Naona ungekuwa more specific.Kwa mfano hicho kipengele cha dini ni kikwazo.Wengine hawapendi kabisa kuchanganya imani and im one of them.
Jee uko tayari kuwa na mdada ambaye ana elimu kuliko yako?
Hii inaweza isiwe njia sahihi ya kutafuta mwenza wa maisha kwa watu wengi sana kwenye forum hii lakini mimi naomba kwa sasa niitumie baada ya kutumia njia nyingine nyingi tu na kukumbana na wasichana wa ajabu sana...
Sifa zanguSifa za binti.
- Elimu ya chuo kikuu, degree ya kwanza.
- Dini muislamu...mimi sibagui dini
- urefu 5 11" ft
- Hodari na mtafutaji wa kweli wa maisha
- mchangamfu na pia napenda kujipa raha na kula bata ndogo ndogo za hapa na pale
- Napenda kusafiri,clubing,soccer,comedy (tyler perry's house of Pain is my favourite),movie,kukutana na marafiki wapya,napenda kupika na pia napenda kuhave fun..
- My favourite book... The autobiography of Malcom X
- Favuorite movie....Catch me if u can.
If it looks like nimekuvutia, go ahead and write me an email on rashmaki@gmail.com. kama unaona mizinguo poa lichunie na jiheshimu kwa kutokutoa comments za ajabu though siwez kuzuia uhuru wako wa kujiexpress....
- Msomi na anayejitambua
- mcheshi
- Mkweli na muhangaikaji wa maisha
- sibagui dini wala kabila
- Mwenye upendo wa kweli kwa mpenzi na ndugu.
- Anipende mimi kama mimi na si vinginevyo coz what I can promise is pure and true love coz all the materials can always come and go bt my love will remain to be pure and true forevever,
Mbona unakuja na motion ya kutuchimba mkwara bwana? Yaani wewe uje kutuchukulia dada zetu halafu tuache kukuhoji status yako? Wewe vipi bwana!! Nway ukipata wife material husiache kutujuza mhe. Karibukama unaona mizinguo poa lichunie na jiheshimu kwa kutokutoa comments za ajabu though siwez kuzuia uhuru wako wa kujiexpress....
Awe specific kivipi? Amesema yeye ni mwislamu lakini habagui. Kama wewe unabagua do not send him an email. Kama uko interested semd him an email. Mbona post iko straight forward jamani.
Jee uko tayari kuwa na mdada ambaye ana elimu kuliko yako?
mimi hapa nafaa
Tutajuaje kama wafaa?mimi hapa nafaa