Mzee JF-Expert Member Feb 2, 2011 13,597 5,788 Dec 13, 2011 #21 Sema mlemavu wa ngozi. Hilo jina ulilotumia si zuri tena.
NYENJENKURU JF-Expert Member Feb 11, 2011 1,063 288 Dec 13, 2011 #22 libent said: jamani niko serious nahitaji mwanamke ambae ni zeruzeru awe my wife age kuanzia miaka 28-30 Click to expand... Hapo kwenye red..Usijekuwa unataka kumfanya dili.(Kuuza viungo vyake)!Tunaomba sababu za kutaka kuoa huyo zeruzeru na si wengine?:hatari:
libent said: jamani niko serious nahitaji mwanamke ambae ni zeruzeru awe my wife age kuanzia miaka 28-30 Click to expand... Hapo kwenye red..Usijekuwa unataka kumfanya dili.(Kuuza viungo vyake)!Tunaomba sababu za kutaka kuoa huyo zeruzeru na si wengine?:hatari: