Idimi
JF-Expert Member
- Mar 18, 2007
- 14,965
- 10,460
Makubwa!
Mtoa mada, mie nilidhani mkeo hazai kabisa, kumbe mna watoto! Kwa nini msikae na kuwale hao waliopo badala ya kuranda randa nje? Hata kama angekuwa hazai, maadili ya ndoa za Kikristo hayaruhusu hayo unayotaka kufanya.
TAFAKARI, CHUKUA HATUA
Mtoa mada, mie nilidhani mkeo hazai kabisa, kumbe mna watoto! Kwa nini msikae na kuwale hao waliopo badala ya kuranda randa nje? Hata kama angekuwa hazai, maadili ya ndoa za Kikristo hayaruhusu hayo unayotaka kufanya.
TAFAKARI, CHUKUA HATUA