Natafuta mwanamke wa kunizalia mtoto wa kike

Yani kwenye thread za kishakunaku nyie vimbea huwa hamkosekani.

Khaaaa!!

Mie nilijua fursa imepatikana nakuwa kiwanda alafu nabaki kuvuna, tu acha nije mbio, mwee kumbe balaa tupu

Alafuuuu kwani wewe unafanya nn hapa?
 
Mie nilijua fursa imepatikana nakuwa kiwanda alafu nabaki kuvuna, tu acha nije mbio, mwee kumbe balaa tupu

Alafuuuu kwani wewe unafanya nn hapa?

Ushasahau mimi na kamulinzi kako?

Kama hujui nalipwa kukulinda na kufuatilia nyendo zako
 
Wanajf poleni mihangaiko ya life. Mimi ni husband wa somebody. Tumejaliwa watoto wa4 lakini wote ni wa kiume. Kwa kuwa jitihada zetu za kupata baby girl zimeshindikana, nawasilisha ombi kwa mwanamke yeyote aliyetayari kunizalia mtoto wa kike. Lakini awe pia na nia kama ya kwangu na uwezo wa kumlea mwenyewe. Ina maana awe anajimudu kimaisha. Lengo ni kuepusha migogoro isiyo ya lazima kwani huwa sipendi usumbufu licha ya kuwa na mapenzi ya kweli.

I see.... mafara wapo weengiii....
 
Baba ana-determine jinsia ya mtoto kivipi? elimu tafadhali

Ni hivi, baba ana sijui wanaita vinasibu XY na mama ana XX. Ili mtoto awe binadamu wa kawaida basi anahitaji kinasibu kimoja chenye chromosome 23 toka kwa baba na kingine chenye chromosome 23 kutoka kwa mama ili kupata 46 chromosomes zinazotakiwa kwa binadamu. X siku zote inabeba jinsi ya kike na Y inabeba jinsi ya kiume. So tukirejea mwanume ili awe mwanaume lazima awe na XY, na mwanamke ili awe mwanamke anahitaji awe na XX. Hivyo mama siku zote yuko kutoa X so inahitajika X kutoka kwa baba ili mtoto awe wa kike au Y toka kwa baba ili mtoto awe wa kiume.
 
So Mokoyo wataalamu wnatuambia kuwa manii ikitoka kwa baba basi vile vichromosone vina tabia tofauti. Y wanakimbia sana na wanakufa haraka, na X wanakimbia taratibu lkn wanaishi muda mrefu.
Hivyo kama siku za mama ziko vizuri (hazibadiliki badiliki) na anajua siku yai linakomaa basi mnaweza kuchagua ni mtoto gani azaliwe.
Mf. Mama mzunguko wake ni siku 28. Ameanza period tarehe moja basi yai hupevuka tarehe 14. Hivyo kama unataka mtoto wa kike kama ndugu hapo juu, mshiriki tendo la ndoa tarehe 9 hadi 12. Hii itafanya Y chromosome kufa na kubaki X. Kama mnataka mtoto wa kiume basi tarehe 13,14,15,16 zinawahusu.
 
Last edited by a moderator:
Thread yenyewe ya 2010 inawezekana mtafutaji mwenyewe kashazeeka.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom