Mke wangu ameshafunga kuzaa kutokana na matatizo aliyopata wakati wa kujifungua mtoto wetu wa mwisho. Otherwise nisingehangaika hivi.
mimi niko tayari ila nataka mtoto wa kiume toka kwako
Du mtihani huo. Lakini keep in contact. NiPm tu inazungumzikamimi niko tayari ila nataka mtoto wa kiume toka kwako
Hebu niunganishe naekaka unatafuta mtoto halafu kulea unaogopa mwe pole sana, kuna dada alisema anataka kuzalishwa mtoto atalea mwenyewe mcheki huyo labda atakusaidia kwani inaonyesha nia zenu zafanana yeye anataka mtoto ila atalea mwenyewe na wewe unataka mtoto unaogopa kulea. kila la kheri
Mbona hilo sio tatizo. The problem was just timingNenda hospitali waka-check kama chromosomes zako zote ni Y. Kama sio Y tu, basi waweza kupata Ke kwa huyohuyo mkeo. Lo! bahati mbaya kweli mkeo hazai tena kwani ungemleta kwangu nimtundike mimba ili mpate mtoto wa kike kwani mimi najua namna ya kuzipanga sex na nina X na Y chromosomes kwa wingi!!
Tatizo wife alishafunga uzazinakushauri usitafute mtu wa kuzaa nae nje inawezekana nako ukapata wa kiume maana wewe ndio mwenye mbegu za x na y. ila tu cha kukushauri hesabu siku za mkeo kuna tarehe za mtoto wa kike tena nyingi kuliko za wa kiume.pia anza kuoga maji ya moto mara kwa mara na hata dk chache kabla ya tendo.
Wanajf poleni mihangaiko ya life. Mimi ni husband wa somebody. Tumejaliwa watoto wa4 lakini wote ni wa kiume. Kwa kuwa jitihada zetu za kupata baby girl zimeshindikana, nawasilisha ombi kwa mwanamke yeyote aliyetayari kunizalia mtoto wa kike. Lakini awe pia na nia kama ya kwangu na uwezo wa kumlea mwenyewe. Ina maana awe anajimudu kimaisha. Lengo ni kuepusha migogoro isiyo ya lazima kwani huwa sipendi usumbufu licha ya kuwa na mapenzi ya kweli.
wanajf poleni mihangaiko ya life. Mimi ni husband wa somebody. Tumejaliwa watoto wa4 lakini wote ni wa kiume. Kwa kuwa jitihada zetu za kupata baby girl zimeshindikana, nawasilisha ombi kwa mwanamke yeyote aliyetayari kunizalia mtoto wa kike. Lakini awe pia na nia kama ya kwangu na uwezo wa kumlea mwenyewe. Ina maana awe anajimudu kimaisha. Lengo ni kuepusha migogoro isiyo ya lazima kwani huwa sipendi usumbufu licha ya kuwa na mapenzi ya kweli.
bado tu fataki kutafutwa!
mimi niko tayari ila nataka mtoto wa kiume toka kwako
Chief naona hapa unatuzingua tu yaani kumbe mke kafunga uzazi halafu wewe ndo unataka mtoto wa kike??/ Kumbuka mtoto ni mtoto usidharau hayo madume ya mbegu shauri yako!!!!
Chief, rudi katika biology ya human reproductive system. Yai la mwanamke halitoi jinsia ya mtoto (X chromosome) bali ni mbegu za mwanaume! Mbegu yenye X itarutubisha yai la mwanamke na kutoa mtoto wa kike (XX), mbegu Y itaunganika na yai kufanya mtoto wa kiume (XY). Therefore kuzaa na mwanamke mwingine will not make any difference.
mi natafuta fataki jamani,alie tayari aseme.