Habari ndugu zangu, pole kwa majukumu ya kila siku,
Mimi ni kijana wa kiume mwenye miaka 27, ninatafuta mwanamke wa kuanzisha nae mahusiano kwa lengo kuja kuishi nae pamoja awe na umri wa kuanzia miaka 22 -30, awe mkristo maana na mimi ni mkristo wa RC, awe na elimu ya kuanzia kidato cha nne na kuendelea kwani mimi na shahada, awe mwaminifu nahitaji mtu aliye tayari mengine tutaongea PM.
Karibuni ila kama haikuhusu naomba usingilie.
Mimi ni kijana wa kiume mwenye miaka 27, ninatafuta mwanamke wa kuanzisha nae mahusiano kwa lengo kuja kuishi nae pamoja awe na umri wa kuanzia miaka 22 -30, awe mkristo maana na mimi ni mkristo wa RC, awe na elimu ya kuanzia kidato cha nne na kuendelea kwani mimi na shahada, awe mwaminifu nahitaji mtu aliye tayari mengine tutaongea PM.
Karibuni ila kama haikuhusu naomba usingilie.