kilabuni
Member
- Nov 16, 2012
- 74
- 17
Ukitaka kuwapata wanawake wa aina hiyo nenda WAMATA mtaa wa Regent estate nyuma ya AAR Hospital iliyopo New Bagamoyo road ipo katikati ya stand ya mabasi ya Moroco na Kituo cha Victoria.Nimekushauri hivyo kwakua huwa wanautaratibu wa kukutana pale hivyo utapata details na njinsi ya kuishi na mwenzio alie athirika lakini mtashauriwa jinsi gani ya kuwa na watoto ambao hawajaathirika