Natafuta mwanamke mtu mzima

Ngoja nifoji birth certificate ili nikidhi matakwa ya mtoa uzi..! Lol
 
andrea ushapata? Au nikuforwadie binti mmoja wa ukweli mtu mzima yuko mitaa hiyo hiyo.
 
Wadau, mimi natafuta mwanamke kuanzia miaka 35 hata kama ana mtoto/watoto sawa tu tuanzishe mahusiano maana naona hawa wasichana wadogo wananisumbua tu bado hawajamaliza usichana. e-mail yangu andreakalima@gmail.com
Andrea I can feel you man! Any man, I repeat real man, ambaye ameshatulia na maisha, anataka mwanamke kwenye hiyo age range atulie nae.Kwa kuonyesha kuwa you are a real man, hujali ana watoto wangapi, nakupa tano mzee!! Wanawake wenye akili timamu mlio fiti vigezo mkichemsha hapo shauri yenu, mmeona matangazo mangapi kama hili for the past ten years!! I can't say more, wavulana pigeni kelele!!
 
unachoongelea mbona hajasema y anatafuta na afadhali amekujibu vizuri, sidhani kama age yake inaleta tabu, ungemuelewa ungepata tafsiri fasaha ya yeye kuuliza kuliko kudandia kitu tofautiiiiiiiiii.

duh kazi ipo subira na kuelewa kilichoandikwa kinasaidia maishani jamani na sio kudakia tuuuu.

1+1 = 2..................Au mhm naisi naye analo jibu ilo ndo maana amekuwa ivyo
 

Similar Discussions

0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom