Michael Amon
JF-Expert Member
- Dec 22, 2008
- 8,775
- 3,610
Jamani akina dada naombeni msaada wenu kwa yeyote ambaye atajitokeza au kijitolea ili kuupoza moyo wangu ulioumia baada ya kutendwa na mpenzi wangu ambaye nilimpenda. Kwa jinsi alivyonifanyia kwa kweli sitamani kuwa na mwanamke mwingine yoyote maishani wangu aumuzi ambao sio mzuri kwa sababu kwa kufanya hivyo naweza kujikuta nikijiingiza katika tabia za ajabu ikiwemo ushoga. Jamani kina dada naombeni msaada wenu kama kuna mwanamke yoyote ambaye atajitolea kuupooza moyo wangu na kunisahaulisha machungu yote na karaha za huu ulimwengu kwa njia yoyote ile ili mradi tu awe anaishi Arusha. Sitojali umri wake kabila, dini wala utaifa wake ili mradi tu aweze kuponya moyo wangu. Natanguliza shukrani Shukrani zangu za dhati kwa yeyote ambaye atajitokeza kunisaidia katika hili. Asante