The Dude
JF-Expert Member
- Sep 14, 2011
- 1,029
- 453
Jamani nimekuwa niko nyuma sana na inaniuma sana ninapokuwa club na kwny sherehe halafu washikaji rika langu wanacheza vizuri wakati mimi najifaragua tu..
Sasa nimechoka kuwa left out na kufeel out of place.So,nahitaji mwalimu wa kuninoa..ama sehemu wanayofundisha kucheza muziki jijini Dar. Masomo yataanza as soon as practcally possible.Ada ya mafunzo iwe reasonable.
Sasa nimechoka kuwa left out na kufeel out of place.So,nahitaji mwalimu wa kuninoa..ama sehemu wanayofundisha kucheza muziki jijini Dar. Masomo yataanza as soon as practcally possible.Ada ya mafunzo iwe reasonable.