We niangusage tu,.,,,
Mimi ni mdada mwenye miaka 32. Kiumbo mnene asili yetu wanyaks,mrefu kiasi, mjasiriamali, elimu diploma na dini yangu ni mkristo. Napenda kutembelea wasiojiweza. Nahitaji mume mwenye kwanzia miaka 34-43, mwenye hofu ya Mungu,kabila lolote, kajiajiri au kaajiriwa. Awe muwazi na anayejua majukumu yake kama mwanaume. Awe mtu wa muaminifu coz nilishatendwa ndo maana nimekaa muda mrefu bila yakuwa ktk uhusiano. Naamini Mungu atanipatia sawasawa na mawazo yangu...karibuni.
Mimi ni mdada mwenye miaka 32. Kiumbo mnene asili yetu wanyaks,mrefu kiasi, mjasiriamali, elimu diploma na dini yangu ni mkristo. Napenda kutembelea wasiojiweza. Nahitaji mume mwenye kwanzia miaka 34-43, mwenye hofu ya Mungu,kabila lolote, kajiajiri au kaajiriwa. Awe muwazi na anayejua majukumu yake kama mwanaume. Awe mtu wa muaminifu coz nilishatendwa ndo maana nimekaa muda mrefu bila yakuwa ktk uhusiano. Naamini Mungu atanipatia sawasawa na mawazo yangu...karibuni.
Natafuta rafiki wa kike ambaye nitampenda na kumjali, kubadilishana mawazo, company na kusaidiana katika mambo ya maisha.
Sifa zake:
- Awe na Umri usiopita miaka 40
- Awe na umbo zuri na sura ya kuvutia na uzuri wa asili
- Awe na tabia njema na asiwe na tamaa
- Awe ana ndoto za maendeleo na mitazamo chanya katika maisha na anayejiamini
- Awe na Elimu ya kuanzia ngazi ya Diploma - PhD
- Awe tayari kupendwa na kupendeka, kudekezwa na kudeka
- Awe tayari kwa uhusiano wa muda mrefu kama tutaelewana
Sifa zangu:
- Umri wangu miaka kati ya 45-50
- Elimu yangu: Shahada ya Uzamili
- Kazi: Nimeajiriwa na Kujiajiri
- Sina mke
- Nina watoto wawili
Ambaye yuko seriously tuwasiliane kwa PM au barua pepe gentleman.waukweli@gmail.com
PM na barua pepe zote zitajibiwa 24X7 kwa walio seriously
Nami pia natafuta. Tafadhali tuwasiliane kama tu unakidhi vigezo: